TANGAZO LA KAZI WILAYA YA BUCHOSA
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Buchosa anawatangazia wananchi wote nafasi za kazi kama ifuatavyo
i/ WAUGUZI NAFASI 4
ii/ MAAFISA TATIBU NAFASI 2
SIFA ZA MWOMBAJI
- awe Raia wa Tanzania
- awe na umri usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 45
- awe na elimu ya kidato cha 4 na kuendelea
KWA WAUGUZI
- awe na stashahada au shahada ya Uuguzi
KWA MATATBIBU
- awe na stashahada ya Utabibu (Diplom in Clinical Medicine)
- Malipo ya mshahara yatafanyika kulingana na viwango ya mishahara ya Serikali
- Waombaji wote waambatanishe vyeti vya elimu ya sekondari , vyeti vya taaluma na vya kuzaliwa pamoja na maelezo binafsi yenye wadhamini wawili na picha 2 za passport na namba za simu
- maombi yatumwe kwa
MKURUGENZI MTENDAJI (W),
HALAMSHAURI YA WILAYA YA BUCHOSA,
S.L.P 44
BUCHOSA - SENGEREMA
Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 05/03/2018, Maombi yatumwe kwa Mkono au kwa njia ya posta

